Friday, November 8, 2013

CHEZEA K/KOO WEYE.....ME NILIZANI GALAXY S4 KUMBE SABUNI DAH !!

Tuache tamaa jaman ukija k/koo kuwa makin coz utajua umejipatia sm kwa bei chee kumbe umeuziwa sabun so nenda dukan moja kwa moja na wala usinunue sm mkonon



 Chezea k/koo ww dogo kaja pupa kauziwa sababu

Chezea k/koo ww dogo kaoneshwa sm kar katoa elfu tisin kaweka mfukon kutoa tena kumbe kauziwa sababu so tuache tamaa

No comments:

Post a Comment